Mavazi ya staha chuoni ni suala linalozua mjadala mpana, ingawa lina umuhimu katika muktadha wa kijamii, kitaaluma na hata kimaadili. Mwanafunzi hasa wa chuo kikuu anastahili kuvaa mavazi ya staha na heshima chuoni. Je, kuna umuhimu wa kudhibiti aina ya mavazi katika vyuo vikuu vya umma?