Mto Ruaha hatarini kukauka
14 Septemba 2011Matangazo
Katika makala hii ya Mtu na Mazingira, Sudi Mnete anatazama uhai wa Mto Ruaha Mkuu katika wakati ambapo maeneo kadhaa ya Afrika ya Mashariki yakikabiliwa na ukosefu wa mvua na ukame.
Mtayarishaji: Sudi Mnete
Mhariri: Othman Miraji