You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Msichana Jasiri
Kila msichana ana nafasi sawa kuwa jasiri - Msichana Jasiri!
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Simrang (16) msichana jasiri anaesimamia biashara ya mabilioni ya shilingi
Msichana wa umri wa miaka 16 anasimamia na kuongoza biashara yenye thamani ya mamilioni ya shilingi. Hii ni kutokana na kuaminiwa na familia tangu angali mdogo. Je wewe katika umri wa miaka 16 umefanya nini? Hadija Halifa mtangazaji chipukizi anazungumza nae kwenye video hii ya #MsichanaJasiri.
Msichana Jasiri: Msichana anayechora picha kujikimu chuoni
Mhelepu Shilingi amewashangaza wengi baada ya kutumia muda wake wa ziada nje ya mgahawa mjini Dar Es Salaam nchini Tanzania akichora picha za watu ili kupata fedha kwa ajili ya mahitaji yake chuoni na kiasi, kwa familia yake iliyopo Morogoro. Watu wengi wamempa taji la ujasiri. Mtangazaji Chipukizi Hadija Halifa anaangazia juhudi zake.
Mariam Iddi, mmilki wa mgahawa unaouza vichwa vya kuku
Katika makala ya Msichana Jasiri, leo tunamuangazia Mariam Iddi ambaye ni mjasiriamali na mmilki wa mgahawa unaouza vichwa vya kuku, utumbo, na hata firigisi. Kitu gani kilimpa msukumo wa kuanzisha mgahawa huu ambao umekuwa kivutio kikubwa kwa wateja? Msimulizi katika video hii ni mtangazaji chipukizi Hadija Halifa.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 4 wa 4
Ukurasa unaofuatia