Mkutano wa UNICEF na UNFPA wajadili vifo vya mama wajawazito wakati wa kujifungua
19 Aprili 2007
Mkutano wa kimataifa unaojadili vifo vya akina mama wakati wa kujifungua na watoto kuanzia umri wa siku moja hadi miaka mitano, unaendelea mjini Dar es Salaam,Tanzania wakishiriki watafiti na wakung kutoka sehemu mbalimbali duniani.