Nchini Rwanda, jina la Dkt. Thomas Muyombo linavuma hata nje ya kuta za hospitali. Anajulikana na wengi kwa jina lake la kisanii Tom Close, na ni mwanamuziki maarufu! Mchana ni daktari, usiku ni mwanamuziki. Hii imekaaje? Tizama video. Juni 27, 2025 #Kurunzi #DwKiswahili