TeknolojiaIran
Mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani yaahirishwa
2 Mei 2025Matangazo
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Tammy Bruce, amesema mjini Washington kwamba watanataraji kuwa na duru nyingine ya azungumzo hivi karibuni.
Iran na Marekani wameripoti hatua zilizopigwa kwenye mazungumzo hayo yaliyoafanyika Jumamois mbili mfululizo tangu Aprili 2.
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje Esmaeil Baqaei aidha amethibitisha kuahirishwa kwa duru iliyopangwa kufanyika Rome siku ya Jumamosi, kwa kuzingatia pendekezo hilo la Oman.
Tarehe mpya zitapangwa kulingana na makubaliano ya pande hizo mbili.