You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Mazingira
Mazingira yanatuzunguka kila mahala, na wanaadamu wanayategemea kuendesha maisha yao.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
UN: Kiwango cha joto duniani kuongezeka kwa nyuzi 1.5
Shirika la Hali ya Hewa Duniani limesema huenda wastani wa joto duniani kwa mwaka ukaongezeka zaidi ya nyuzi 1.5.
UAE yamualika Assad katika mkutano wa mazingira wa COP 28
UAE yamualika Assad katika mkutano wa mazingira wa COP 28
Mradi wa kupambana na mabadiliko ya tabia nchi Rwanda
Mradi nchini Rwanda unalenga kuwasaidia wakulima kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa kwa kuwafundisha jinsi ya kuboresha ardhi na kutumia mazao mbalimbali. Mradi huo tayari unaonyesha matokeo katika milima ya Mkoa wa Kaskazini mwa nchi. #Kurunzi
Uchafuzi wa hewa wasababisha vifo 1,200 kwa mwaka Ulaya
EEA ilitangaza mwaka jana kuwa katika Umoja wa Ulaya,watu 238,000 walikufa mapema kwa sababu ya uchafuzi wa hali ya hewa
Ujerumani yaahidi euro bilioni mbili kupambana na mabadiliko ya tabia nchi
Katika mazungumzo juu ya hali ya hewa ya Petersberg, Ujerumani imezitaka nchi kote ulimwenguni kuongeza shabaha zao za nishati mbadala, huku ikiahidi Euro bilioni mbili za ziada katika kupamba na athari za mabadiliko ya tabia nchi duniani.
Mtu na Mazingira: Utunzaji wa kasa Kwale
Makala hii iliyoandaliwa na Michael Kwena inaangazia juhudi za wanamazingira kutoka jimbo la Kwale nchini kenya ambao wamejikita katika kuwatunza kasa wa baharini
HRW: Kufukuzwa kwa Wamasai huko Loliondo kumekiuka haki zao
Jamii hiyo ya Wamasai wameiambia HRW kuwa hawakushauriwa vya kutosha kabla ya uamuzi huo, kama inavyotakiwa na sheria
Sema Uvume na Kenya na uzinduzi wa satelaiti yake
Sema Uvume na Kenya na uzinduzi wa satelaiti yake
Ripoti ya UN: Vina vya bahari duniani vyapanda maradufu
Ripoti hiyo ya kila mwaka pia imezungumzia juu ya kuongezeka maradufu kasi ya kupanda kwa kina cha bahari duniani kote.
Biden atangaza dola bilioni 1 kwa kukabiliana na joto
Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza ufadhili mwingine wa Marekani wa kimazingira wenye thamani ya dola bilioni moja
Mtu na Mazingira: Kilimo ekolojia
Ushirikiano mwema kati ya binadamu, mazingira, wanyama na mimea hujenga ekolojia iliyokamilika ambayo ni salama na bora kwa maisha ya kila mmoja.
Vijana na Uongozi: Vita dhidi ya taka za plastiki
kijana ambaye ameitikisa anga kwenye masuala ya uhifadhi wa mazingira kutokana na msukumo wake dhidi ya uchafuzi unaosababishwa na taka zinazotokana na plastiki.
Tugutuke: Vijana watumia sanaa kutunza mazingira Mtwara
Salma Mkalibala anazungumza na vijana wa Mtwara kusini mwa Tanzania ambao wameunda mtandao wa kuhamasisha utunzaji wa mazingira kupitia sanaa ya muziki na matamasha ya rika
Mawaziri wa G7 waahidi kuachana na mafuta ya visukuku
Aidha limeahidi kwa mara ya kwanza kumaliza uchafuzi mpya wa mazingira utokanao na taka la pastiki ifikapo mwaka 2040.
Guterres asema Somalia inateswa na Mabadiliko ya Tabianchi
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema Somalia inateseka kutokana na athari za mgogoro wa hali ya hewa.
UN:yapitisha azimio muhimu kuhusu Tabianchi
Azimio hilo limepitishwa baada ya vuguvugu lililoendeshwa na Jamhuri ya Vanuati kisiwa kidogo katika bahari ya Pasifiki.
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wakutana na wamualika Guterres
Viongozi hao wa Umoja wa Ulaya walitarajiwa pia kuidhinisha mpango wa kuipatia Ukraine silaha na makombora zaidi.
UN: Uhaba wa maji watishia mzozo wa kimataifa
Asilimia 46 ya watu ulimwenguni kote hukosa huduma za uhakika za usafi.
Tofali zitokanazo na plastiki
Akiwa na umri wa miaka thelasini, Elie Mapenzi Matabaro ni mmoja kati ya vijana walioanziasha kampuni ndogo inayoitwa Full Development Agency Group, kwakifupi FDA Group, iliyobobea katika ukusanyaji na usindikaji wa taka na kuzigeuza kuwa matofali ya kupamba ua na barabara za miji ya Bukavu na Goma nahivyo kuchangia katika ulinzi wa mazingira.
Blue Earth inavyotunza mazingira Mombasa
Wasiwasi wao kuhusu mabadiliko ya Tabianchi uliwasukuma kuchukua hatua ili kutoa mchango kupambana na changamoto hiyo, hivi sasa shirika la Blue Earth lililoasisiwa na wanawake watatu mjini Mombasa, linafanya zaidi ya kupanda mikoko katika harakati zake za uhifadhi wa mazingira. Ni #kurunziwanawake iliyoandaliwa na Ripota wetu wa Mombasa Fathiya Omar.
Afrika kufikiria kuwekeza katika mipango ya mazingira
Hatua hiyo itazifanya nchi masikini kupunguziwa madeni yake
UN kutoa ripoti ya kupambana na mabadiliko ya tabianchi
Ripoti hiyo ilitengenezwa na mamia ya wanasayansi wakuu ulimwenguni kwa wiki nzima katika mji wa Uswisi wa Interlaken
Ujerumani itashirikiana na Tanzania kutunza mazingira.
Ujerumani: Itashirikiana na Tanzania katika utunzaji wa mazingira.
Waokoaji waendelea kupambana kuwafikia manusura wa kimbunga
Waokoaji wameendelea kupambana kuwafikia manusura mjini Blantyre Malawi baada ya kimbunga Freddy kupiga.
Mabadiliko ya tabianchi yachochea upungufu wa maji Kenya
Kenya inalenga kuboresha miundo mbinu ya maji, wakati uhaba wa raslimali hiyo ukiripotiwa kuyakumba mataifa ya pembe ya Afrika, ikiwemo Kenya yenyewe, na majirani zake Somalia na Ethiopia. Kwa mujibu wa shirika kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF, ni asilimia 29 tu ya Wakenya wanapata maji safi, hali inayotajwa kuchochewa na mabadadiliko ya tabianchi. Wakio Mbogho alituarifu zaidi.
Serikali kujadili tafiti za mabadiliko ya tabianchi
Ripoti hiyo ya kimataifa itakayotolewa Machi 20 iliwakutanisha wawakilishi kutoka serikali mbalimbali ulimwenguni.
Jasiri anaeamini juu ya elimu ya mazingira kwa jamii
Si kila mmoja anaweza kuthubutu kuhusu kuyatunza mazingira lakini kwa jasiri Upendo amethubutu zaidi kwa kuamini elimu pekee ndio suluhisho la kudumu katika kuyatunza mazingira na si elimu tu, bali kuwaelimisha watoto na wanawake kuhusu mazingira bora na ustawi wake.
Mtu na mazingira: UN wataka mtama uwe mbadala wa nafaka zengine
Changamoto za usalama na kimazingira zimechangia pakubwa kwa ukosefu wa chakula katika baadhi ya sehemu duniani. Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa limeutaja mwaka huu kuwa mwaka wa mtama kutokana na kuwa ni mmea unaoweza kuvumilia ukame. Sikiliza makala ya Mtu na Mazingira iliyoandaliwa na Saumu Njama.
Kesi dhidi ya kampuni ya Total Energies yatupiliwa mbali
Mahakama ya Ufaransa imepuulizia mbali kesi dhidi ya kampuni ya mafuta TotalEnergies baada ya kesi dhidi yake
Pembe ya Afrika ipo hatarini kufuatia uhaba wa mvua
ICPAC inahofia kuwa hali itakuwa mbaya zaidi kuliko miaka 10 iliopita, ambapo watu 260,000 walikufa nchini Somalia pekee
Mtu na Mazingira: Mapambano ya Wakulima na Wanyamapori
Alex Mchomvu anamulika jinsi jamii mbalimbali nchini Tanzania zinavyopambana na wanyama pori wanaoharibu mazao.
Ubunifu wa kupambana na uchafuzi wa mazingira
Baadhi ya vijana kutoka Tanzania wanabuni njia mbadala ya kuhifadhi mazingira kwa ujenzi wa nyumba kupitia mabaki ya chupa za plastiki. #Kurunzi.
Nguo za msaada zinazidisha uchafuzi wa plastiki Kenya
Shirika la Changing Markets Foundation la Uholanzi limesema nguo za msaada zinazidisha uchafuzi wa plastiki nchini Kenya
India na Pakistan kwanini zinazozana juu ya mkataba wa IWT?
Kwanini India inazozana na Pakistan juu ya mkataba wa kihistoria?
RSF yakosoa mazingira ya kifo cha mwanahabari Rwanda
RSF imesema kuwa mchakato huo wa kisheria pamoja na sababu za kifo chake havikuwa wazi.
Rais Lula wa Brazil ziarani nchini Marekani
Hata hivyo Lula na Biden wanatofautiana katika masuala kadhaa ikiwa ni pamoja na uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine.
Kimbunga cha kitropiki kimesababisha mafuriko na maporomoko
Kimbunga cha kitropiki kimesababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi
IMF yatahadharisha kuhusu ruzuku za mabadiliko ya tabianchi
Huenda ruzuku hizo zinaweza kusababisha teknolojia na uzalishaji kutoka nchi zinazoendelea kuhamishiwa nchi tajiri.
Guterres:Tuwajibike ili kuwa na dunia salama
Umoja wa Mataifa umetolea mwito viongozi hao ili kuchukua hatua za haraka katika kukabiliana na mzozo wa hali ya hewa
Mifugo yaathirika na Plastiki mjini Marsabit
Makali ya kiangazi yameendelea kuwaathiri wafugaji katika eneo la Marsabit nchini Kenya wanaolazimika kulisha mifugo mifuko ya plastiki na makaratasi kutokana na kukosekana kwa majani. Mwandishi wa DW Michael Kwena ameandaa vidio hii fupi.
Makabiliano yatokea Lüzerath, Ujerumani
Makabiliano yametokea katika kijiji cha Lüzerath wakati maafisa wa polisi wa Ujerumani walipoingia kuwaondoa wanaharakat
Kobe wapo katika hatari ya kuwa kitoweo
Kobe wapo katika hatari ya kuwa kitoweo
Lützerath: Wanaharakati wa mazingira wapambana na polisi
Wanaharakati wa mazingira wapambana polisi kwenye kijiji cha Lüzerath wakipinga kupanuliwa mgodi wa makaa ya mawe.
Geneva: Ujerumani yaahidi kuipa Pakistan Euro milioni 84
Geneva: Ujerumani yaahidi kuipa Pakistan Euro milioni 84
Umuhimu wa Popobawa visiwani Pemba
Wataalamu humwita Popo bawa wa Pemba. Hii ni aina ya popo ambao wamekuwa na umuhimu mkubwa katika uboreshaji wa mazingira kwa kula matunda na kuhamisha mbegu za miti mbalimbali ambayo imekua na msaada mkubwa kwa ustawi wa binadamu visiwani Pemba.
Makampuni ya Ujerumani yalenga kuwekeza zaidi Afrika
Makampuni ya Ujerumani yalenga kuwekeza zaidi Afrika
Steinmeier kusisitiza 'amani na haki' nchini Ukraine.
Steinmeier amesisitiza kwamba amani ikipatikana basi ni lazima iwanufaishe watu wa Ukraine na sio Urusi.
Uingereza yahalalisha mpango wa kupelekwa wahamiaji Rwanda
Uamuzi huo wa Mahakama Kuu ya Uingereza wakosolewa.
Kutunza 30% ya mazingira asilia duniani si jambo rahisi
Lengo ni kunusuru aina nyingi ya spishi zilizo hatarini kutoweka, lakini linatosha kisayansi kuvilinda viumbe hai?
Mafuriko yaua watu 120 DRC
Matukio kama haya yamekuwa yakishuhudiwa mara kwa mara kutokana na mabadiliko ya tabianchi.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 9 wa 22
Ukurasa unaofuatia