You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Mazingira
Mazingira yanatuzunguka kila mahala, na wanaadamu wanayategemea kuendesha maisha yao.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
IMF na Benki ya Dunia kuendelea kushirikiana na Trump
Wakuu wa Benki ya Dunia na IMF wamesema wako tayari kushirikiana na rais mteule wa Marekani Donald Trump.
COP29: Mataifa masikini yapewe fedha zaidi
Rasimu mpya ya mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya hewa imetolewa ikihimiza mataifa masikini kupewa fedha zaidi.
IMF na Benki ya Dunia kuendelea kushirikiana na Trump
IMF na Benki ya Dunia wametoa wito wa sekta binafsi kwenye mataifa yanayoendelea kuendelea kufadhiliwa.
Uzalishaji wa mafuta ya visukuku waongezeka mwaka 2024
Uzalishaji wa kaboni kutokana na matumizi ya nishati ya kisukuku unakadiriwa kuongezeka kwa asilimia 0.8 mwaka 2024.
Azerbaijan yashtumu mataifa ya Magharibi kwa kuiharibia sifa
Uingereza yaahidi kupunguza uzalishaji wake wa gesi chafuzi kufikia mwaka 2035.
Guterres: Tuendelee kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Guterres awataka viongozi katika mkutano wa COP29 kuchanga pesa za kuzuia majanga ya yanayosababishwa na hali ya hewa.
Marekani yaahidi kuendeleza juhudi, kuzuia ongezeko la joto
Mataifa yamekuwa yakipambana kuhakikisha wanazuia ongezeko zaidi la joto duniani ili kupunguza athari zaidi.
WMO yatahadharisha kuhusu kasi ya mabadiliko ya tabianchi
WMO imewasilisha ripoti yake kuhusu hali ya joto duniani kwa mwaka 2024 wakati wa mkutano wa kilele wa mazingira COP29.
Mkutano wa kilele wa mazingira COP29 waanza Azerbaijan
Shinikizo zaongezeka kutoka kwa nchi zinazoendelea za mahitaji ya ufadhili wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.
Mkutano wa kilele wa mazingira - COP29 waanza Azerbaijan
Ajenda kuu ya COP29 ni upatikanaji wa dola trillioni 1 katika ufadhili wa kila mwaka kwa ajili ya nchi zinazoendelea.
Kina cha maji katika Ziwa Turkana kimeongezeka
Ziwa Turkana lililoko kaskazini mwa Kenya ni la kipekee duniani kwani ni la jangwani na lenye umuhimu kwa wavuvi.
Papua New Guinea yatangaza kususia mkutano wa COP29
Serikali yasema mkutano huo ni kupoteza muda na ahadi tupu kutoka kwa nchi zinazoosababisha zaidi uchafuzi wa mazingira.
Viongozi wa juu wahudhuria mkutano wa mazingira Colombia
Wataalamu wamesema imebakia miaka mitano tu ili kuweza kuyafikia malengo yaliyowekwa katika kulinda uhai anuai.
Mkutano wa Jumuiya ya Madola wamalizika nchini Samoa
Mataifa ya Kiafrika, Karibean na Pasifiki yanaitaka Uingereza na mataifa mengine yaliyokuwa na makoloni yalipe fidia
Viongozi wa nchini za Jumuiya ya Madola wakutana Samoa
Ajenda nyingine itahusiana na fidia itokanayo na uhusika wa Uingereza katika biashara ya watumwa.
Kongamano la ulinzi wa mazingira COP16 laanza Colombia
Hatua za haraka zahitajika kudhibiti uharibu wa bioanuwai unaotokana na shughuli za binadamu.
Kongamano kubwa juu ya hali ya hewa kufunguliwa Colombia
Miaka miwili iliyopita, nchi karibu 200 ziliazimia mjini Montreal, Canada, kuyafikia malengo 23 hadi ufikapo mwaka 2030.
Wajumbe kushiriki kongamano la mazingira la Colombia
Wajumbe kuwasili Bogota kwa ajili ya mkutano wa kilele wa mazingira unaojaribu kukomesha uharibifu wa mazingira asilia.
Wajumbe kushiriki kongamano la mazingira la Colombia
Mkutano huo unafanyika katika mji wa Cali ambao upo katika hali ya tahadhari kufuatia vitisho kutoka kwa waasi.
Mataifa ya kusini mwa Afrika yakabiliwa na janga la njaa
Shirika la WFP laonya kuwa mamilioni ya watu katika eneo la kusini mwa Afrika wanakabiliwa na njaa kwa sababu ya ukame.
Yvonne Aki Sawyerr ashinda Tuzo ya Ujerumani kwa Afrika
Meya wa mji mkuu wa Sierra Leone, Freetown, atunukiwa tuzo ya Ujerumani kwa Afrika. Yvonne Aki-Sawyerr ametuzwa kwa kujitolea kwake kwa wakaazi wa mji wake. Aliubadilisha mji wa Freretown kuwa bora kuishi kwa miaka sita pekee. Aliboresha huduma ya utupaji taka, usambazaji maji na anaendelea kuboresha hali ya mji huo hata zaidi. #DWKiswahili
Idadi ya ndovu Kenya yafikia 36,280: KWS wahamisha ndovu 50
Idadi ya ndovu imepanda kutoka wanyama 16,000 mwaka 1989 hadi zaidi ya 36,000 na sasa wanaleta tatizo la kiekolojia.
Mradi wa Shanga Shanga
Ushawahi kufika eneo la Shanga Shanga? Ni eneo maarufu Arusha, Tanzania ambako bidhaa za shanga, bilauri za vioo, pamoja na nguo zinakotengenezwa. Karibu 80% ya wafanyakazi katika eneo hili ni watu wenye ulemavu. Umaarufu wake zaidi ni kutokana na kuwa malighafi ya bidhaa zinazotengenezwa hapa ni rafiki kwa mazingira. Takataka ndiyo malighafi kuu. Msikilize Anuary Mkama katika Mtu na Mazingira.
Wanaharakati: Mazingira ya mtoto wa kike Tanzania si rafiki
Wakati dunia Ijumaa ikiadhimisha siku ya mtoto wa kike, watetezi wa haki za kundi hilo nchini Tanzania wametoa ripoti y
Watu 339 wafa kwa mafuriko Niger
Serikali ya Niger imesema watu 339 wamekufa baada ya mvua za msimu kusababisha mafuriko nchini humo toka mwezi Juni.
Kimbunga Milton chaongezeka kasi kuelekea Mexico
Kasi ya kimbunga hicho Milton inaongezeka kabla ya kuufikia mji wa Florida nchini Marekani siku ya Jumatano.
WMO: Mwaka 2023 ulikuwa na ukame zaidi
Umoja wa Mataifa umesema zaidi ya watu bilioni 3.6 wanakabiliwa na upungufu wa maji kwa kama mwezi mmoja kwa mwaka.
Chad yatoa tahadhari ya mafuriko mabaya zaidi
Mamlaka nchini Chad ziko kwenye tahadhari baada ya mvua kubwa kusababisha mito miwili kufurika na kuvunja kingo.
Mazingira: Ziwa Turkana lafurika
Michael Kwena anasimulia majaliwa ya ziwa hilo muhimu kwa Wakenya.
Pakistan yakemea vita vya Israel huko Gaza
Mzozo wa Mashariki ya Kati umetawala hotuba katika hadhara Kuu ya Umoja wa Mataifa.
Unazitupaje takataka nchini Ujerumani?
Hapa Ujerumani kutupa takataka nako ni shughuli. Unatakiwa kujua wapi hasa unatakiwa kuzitupa takataka zako. Kuna sababu. Unajua ni zipi? Tazama video hii uone namna ya kuzitupa takataka ukiwa nchini humo. #Kurunzi
Viongozi wa dunia kuhutubia Baraza Kuu la UN kuanzia Jumanne
Viongozi wa dunia wako jijini New York nchini Marekani kuhudhuria Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Vijana waitisha maandamano zaidi duniani ya mazingira
Hapa Ujerumani miji kadhaa inafanya maandamano hayo ingawa kunatarajiwa idadi ndogo kulinganisha na kipindi cha nyuma.
Maelfu ya watu wahamishwa Italia kufuatia Kimbunga Boris
Maelfu ya watu wahamishwa Italia kufuatia Kimbunga Boris
Ongezeko la maji Ziwa Tanganyika laathiri biashara Kigoma
Baadhi ya wakazi wa eneo hilo wamehama na waliobaki wanaishi kwa hofu kwa kuwa maji bado yanaongezeka.
Tabianchi na migogoro ni kitisho kwa vita dhidi ya Ukimwi
Mabadiliko ya tabianchi na migogoro yatishia kurudisha nyuma vita dhidi ya Ukimwi
Marekani na wakuu wa mataifa mengine wamelaani kuuawa kwa ki
Wanaharakati katika ukanda wa amerika ya Kusini wanakabiliwa na vitisho mbalimbali kutokana na harakati zao.
Watu wafa katika mafuriko Ulaya ya Kati
Watu 7 wameripotiwa kufa katika siku mbili zilizopita na zaidi ya elfu 10 wamehamishwa Czech.
Sudan Kusini yaahirisha uchaguzi wa Desemba kwa miaka miwili
Rais Salva Kiir na naibu Riek Machar walitia saini makubaliano ya amani mnamo mwaka 2018
Tahadhari ya hali mbaya ya hewa yatolewa Ujerumani
Tahadhari ya hali mbaya ya hewa yatolewa Ujerumani, Poland na Austria.
Watetezi karibu 200 wa mazingira waliuawa 2023
Colombia kwa mara nyingine inashikilia rekodi ya kuwa nchi isiyo salama kanda ya Amerika ya Kusini kwa wanaharakati hao.
Karibu wanaharakati 200 wa mazingira waliuawa, 2023
Colombia, Brazil, Honduras na Mexico ndio mataifa yanayoongoza katika ripoti hiyo.
Kongo: Walimu wagoma wakitaka mazingira bora ya kazi
Mgomno huo wa walimu katika jimbo la Kivu unalenga kushinikiza serikali kuboresha mazingira bora ya kazi.
Mafuriko yauwa watu 7 Indonesia wengine hawajulikani walipo
Mafuriko yameuwa watu saba Indonesia na wengine kadhaa hawajulikani walipo.
Umuhimu wa Tembo katika mfumo wa ikolojia
Katika mbuga za wanyama za Tarangire na Manyara mauaji ya tembo yamedhibitiwa. Shirika la Wanyamapori Afrika, AWF linasema hakuna tembo aliyeuawa tangu mwaka 2015 katika maeneo hayo. Lakini unajua faida za tembo kwenye mbuga za wanyama? Ungana na Veronica Natalis kwenye makala haya ya Mtu na Mazingira.
Afrika kuutumia mkutano wa mazingira kupata ufadhili zaidi
Nchi za Afrika zinapata chini ya asilimia moja za kukabaliana na madhara ya mabadiliko ya tabianchi.
Tetemeko la 5.3 lazikumba Pakistan na Kashmir
Mwaka 2005 tetemeko la ukubwa wa 7.6 lilisababisha vifo vya maalfu ya watu nchini Pakistan na kwenye jimbo la Kashmir.
Malawi yapokea fidia ya dola mil.11 za athari za ukame
Mvua zilizonyesha kati ya mwezi Novemba na Aprili zikiambatana na hali ya El Nino zimechangia hali mbaya ya hewa Malawi.
UN yaelezea wasiwasi kuhusu mazingira ya hofu Venezuela
Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi kuhusu "mazingira ya hofu" baada ya uchaguzi nchini Venezuela.
Mvua kubwa Sudan zasababisha vifo vya watu wasiopungua 68
Mamlaka zinasema makaazi ya watu yamebomolewa, mitaa kufurika na kuiongezea masaibu zaidi nchi hiyo iliyozongwa na vita.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 3 wa 22
Ukurasa unaofuatia