You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Mazingira
Mazingira yanatuzunguka kila mahala, na wanaadamu wanayategemea kuendesha maisha yao.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Noumea, New Caledonia. Uchafuzi wa mazingira wasababisha vifo vya mamilioni ya watu.
Oslo. Kiongozi wa mpango wa mazingira kujiuzulu.
Lisbon. Matatizo ya hali ya hewa yapungua katika Ulaya ya kati.
Waziri wa mazingira Irak anusurika kuuwawa.
Rykjavik, Greenland. Wito watolewa kuwapo na fikra mpya kuhusu mapambano ya mabadiliko ya hali ya hewa.
Kampeni juu ya mabadiliko ya hali ya hewa
Wakati wa mkutano wa nchini wanachama wa G8 mwezi ujao, kengele zitagongwa kama ishara kwa viongozi wa dunia iliwachukue hatua dhidi ya mabadiliko ya hali ya hewa duniani.
New York. Leo ni siku ya mazingira. Miji yatakiwa kupanda miti zaidi.
Uchafuzi wa mazingira waharibu mfumo wa dunia kujiendesha.
Mkutano wa mwaka wa Shirika la Mazingira la Umoja wa mataifa wapokea ripoti kuhusu janga la Tsunami.
Yasema hatua za kimaumbile hazina budi kuchukuliwa kuzuwia majanga ya aina hiyo siku za usoni.
Mkutano wa mwaka wa Shirika la Mazingira la Umoja wa mataifa wapokea ripoti kuhusu janga la Tsunami.
Ripoti inapendekeza hatua za kimaumbile za vizuizi katika kingo za pwani,kuzuwia majanga ya aina hiyo siku za usoni.
TOKYO: Mkataba wa mazingira waanza kutumika.
SURA YA UJERUMANI NA MIAKA 25 TANGU KUASISIWA CHAMA CHA KIJANI-WALINZI WA USAFI WA MAZINGIRA:
SHIRIKA LA MAZINGIRA LA UMOJA WA MATAIFA NA TSUNAMI
Athari za zilzala iliyoshambulia katika eneo la Bahari ya Hindi imelifanya Shirika la Umoja wa Mataifa lizipe umbele harakati za kuunda mfumo wa kuonya mapema katika eneo hilo. Habari hiyo ilitangazwa na Klaus Töfper, Mkurugenzi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa wakati akihudhuria Mkutano wa Kimataifa mjini London kuhusu mustakabali wa mataifa ya visiwa katika maeneo yenye kuhitaji maendeleo. Kwanza watu wa eneo hilo watahitaji kupatiwa misaada ya kuikarabati hasara ya kiuchumi iliyosababishwa na Tsunami. Kisha hapo patakuweko mahitaji ya kukichunguza kiwango cha hasara kilichotiwa katika mazingira na maafa ya mafuriko ya maji, alisema Bwana Töpfer.
Berlin: Mkuu wa shirika la umoja wa mataifa la usafi wa mazingira,
LONDON: Tetesi zapamba moto nchini Uingereza, kuhusu mazingira ilimotokea ajali ya gari iliyosababisha kifo cha Diana
RIPOTI YA MAZINGIRA 2003
Mkutano wa Hali ya Hewa wa UM wamalizika:
Milan: Mkutano wa kimataifa wa hali ya hewa umeanza:
Mtu na Mazingira
Vita Vinachochea Hali Mbaya ya Mataifa Masikini, Unasema Umoja wa Mataifa
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 22 wa 22
Ukurasa unaofuatia