You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Mazingira
Mazingira yanatuzunguka kila mahala, na wanaadamu wanayategemea kuendesha maisha yao.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
POTSDAM: Ushirikiano muhimu kuhifadhi mazingira
POTSDAM: Mkutano wajadili mabadiliko ya hali ya hewa
Juhudi za kuhifadhi mazingira
Mkutano wa mawaziri wa mazingira wa nchi 8 tajiri kwa viwanda na wenzao wa nchi 5 zinazoinukia
BERLIN: Merkel amesifu mradi wa Blair kuhusu mazingira
BERLIN : Merkel anatumai hatua zaidi kwa mabadiliko ya hali ya hewa
Umoja wa mataifa, New York. Katibu mkuu afisu makubaliano ya umoja wa Ulaya kuhusu mazingira
Hali ya hewa na Umoja wa Ulaya
Viongozi wa umoja wa Ulaya wanakutana leo na kesho kama mlivyosikia mjini Brussels na usoni mwa ajenda yao ni jinsi gain kuzuwia zaidi kuchafuka kwa hali ya hewa na mazingira kwa jumla.
Kansela Merkel atetea mpango wa mabadiliko ya hali ya hewa wa Umoja wa Ulaya
Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amewataka viongozi wa Umoja wa Ulaya leo hii kuharakisha juhudi za dunia kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa kwa kuweka malengo makubwa na kukataa wasi wasi kutoka makampuni juu ya gharama kubwa katika kufikia malengo hayo.
EU yataka kupiga vita mabadiliko ya hali ya hewa
Umoja wa Ulaya unataka kuwa mfano mzuri katika juhudi za mapambano dhidi ya mabadiliiko ya hali ya hewa. Hilo ndilo lengo lake Kansela Angela Merkel wa Ujerumani, ambaye kwa miezi hii sita ni mwenyekiti wa Umoja huu.
HAMBURG: Kansela Merkel asifu juhudi za kulinda mazingira
BERLIN: Nchi za viwanda zipunguze zaidi uchafuzi wa mazingira
OSLO: Mazungumzo kuhusu mazingira yakwama
BERLIN:Bi Merkel asisitiza umuhimu wa kupambana na athari za hali ya anga
BERLIN:umoja wa Ulaya kutilia maanani mabadiliko ya hali ya anga
New York:Makampuni yatetea hifadhi ya mazingira
BRUSSELS : Mawaziri wa mazingira wa Ulaya wakutana
Berlin: Mkuu wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa ataka kuweko kodi ya ziyada kwa tiketi za ndege
Mkutano kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa wamalizika mjini Washington
Mkutano kuhusu ongezeko la joto duniani ulimalizika jana mjini Washington, Marekani. Viongozi kutoka mataifa 13 walitia saini taarifa ya pamoja kuzishinikiza serikali zao ziunde kwa haraka mpango wa kupunguza gesi zinazotoka viwandani, kabla mkataba wa Kyoto kumalizika ifikapo mwaka wa 2012.
BERLIN.Viongozi wa G8 kukutana mwezi Juni kujadili swala la hali ya hewa
NAIROBI:Katibu Mkuu Ban Ki Moon kuweka kipaumbe katika harakati za kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa
PARIS: Umoja wa Ulaya wataka mkataba mpya wa hali ya hewa ushughulikiwe.
PARIS.Serikali za ulimwengu zatakiwa zichukue hatua juu ya hali ya anga
Ripoti kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa yatolewa leo
Jopo la Umoja wa Mataifa linalohusika na mabadiko ya hali ya hewa dunia, IPCC, limetoa ripoti yake ya kurasa 21 hii leo mjini Paris Ufaransa. Ripoti ya jopo hilo inamlaumu binadamu kwa kusababisha mabadiliko ya hali ya hewa. Josephat Charo anaarifu zaidi.
Mkutano wa hali ya hewa mjini Paris
Ripoti ya IPCC yaonya dhidi ya madhara ya kuzidi hali ya ujoto ulimnwenguni
Beijing. Mazingira mada kuu katika mkutano na kati ya Wajerumani na Wachina.
BRUSSELS: Ulaya ipunguze uchafuzi wa mazingira
Nairobi. Mkutano wa hali ya hewa wataka kupitiwa upya kwa makubaliano ya Kyoto.
Mkutano wa mazingira mjini Nairobi
Mkutano wa mabadiliko ya hali ya hewa mjini Nairobi
NAIROBI: Mabadiliko ya hali ya hewa yahatarisha amani na usalama duniani
NAIROBI: Viongozi kujadili njia za kulinda hali ya hewa
Mkutano wa kimataifa wa mabadiliko ya hali ya hewa unaendelea jijini Nairobi, Kenya
Jamii za wafugaji na wavuvi zinatoa kilio chao jinsi maisha yao yanavyo athirika kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa
Juhudi za kupunguza uchafuzi wa mazingira
Kampeni inayoongozwa na Umoja wa Mataifa kupambana na kuongezeka kwa ujoto duniani,huenda ikawa na mabadiliko yatakayoweza kuzivutia nchi zaidi kama vile Marekani na China,baada ya mwaka 2012.
Nairobi.Wamasai nchini Kenya wadai mabadiliko ya hali ya hewa yanaharibi masingira yao asili.
NAIROBI: Mkutano wa kimataifa juu ya mabadiliko ya hali ya hewa watafuta mkataba mpya
NAIROBI:Mkutano wa kimataifa juu ya hali ya hewa waendelea Nairobi
LONDON: Wito wa kuchukua hatua zaidi kulinda mazingira
LONDON : Repoti yaonya juu ya mabadiliko ya hali ya hewa
London. Mabadiliko ya hali ya hewa yanaathiri sana mazao na watu wa Afrika.
LONDON: mabadiliko ya hali ya hewa yatishia juhudi za kuondoa umasikini barani Afrika
Helsinki. Viongozi wajadili kuhusu uchafuzi wa mazingira.
Watoto wanasaidia kusafisha mazingira
Miradi ya maendeleo daima huchukuliwa kuwa imefanikiwa,pale malengo mengi iwezekanavyo yanapotimizwa bila ya kuwa na gharama nyingi.
Beijing: Matatizo ya Mazingira katika Uchina yamekithiri.
Hali ya hewa na sekta ya uchumi
Hivi sasa mjini Montreal, Canada, wataalamu na wanasiasa kutoka kila pembe ya dunia wanazungumzia jinsi ya kupunguza utoaji wa gesi chafu zinazosababisha mabadiliko ya hali ya hewa. Wawakilishi wa kampuni za kiuchumi wameelewa fika kuwa kulinda mazingira ni maslahi yao.
Mkutano wa Mazingira waendelea Kanada
Marafiki wakubwa wa Marekani wameonyesha matumaini yao kuwa wanaweza kuishawishi nchi hiyo yenye wasiwasi kuhusu mbinu mpya za kupambana na kuongezeka kwa ujoto duniani katika mkutano wa Mazingira unaohudhuriwa na Wajumbe kutoka nchi 189 mjini Montreal, Kanada.
Mkutano wa kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa waanza mjini Montreal
Kwa mara nyengine tena mataifa wanachama wa umoja wa mataifa yanafanya mkutano wa kilele juu ya kuyalinda mazingira kuanzia hii leo mjini Montreal nchini Canada. Ni kweli kwamba mkataba wa Kyoto, ambao ulisababisha mivutano kati ya mataifa kabla kusainiwa, ulianza kufanya kazi kuanzia mwanzoni mwa mwaka. Hata hivyo lakini, mkataba huo bado hauna nguvu kwani kiwango cha gesi kutoka viwandani kinaendelea kuongezeka.
Mkutano wa mabadiliko ya hali ya hewa kufanyika mjini Montreal, Canada
Katika muongo uliopita mataifa mengi yalisaini mkataba wa umoja wa mataifa wa kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa. Lengo lao kubwa ni kutafuta njia za kupunguza na kukabiliana na ongezeko la uoto duniani. Sekretariati ya umoja wa mataifa ya kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa iliandaa mkutano na waandishi habari uliofanyika jana katika ukumbi wa Redio Deutsche Welle hapa Bonn.
Mazingira yasababisha aina mpya ya wakimbizi
Warsha juu ya mazingira na amani ilimalizika jana katika eneo la Wesseling hapa mjini Bonn. Mada kuu iliyojadiliwa ni tatizo kubwa la wakimbizi wa mazingira.
STOCKHOLM : Tuzo Mbadala ya Nobel kwa wanaharakati wa haki za binaadamu na mazingira
BERLIN:Madhamana wa CDU/CDU na walinzi wa Mazingira-Grüne kukutana
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 21 wa 22
Ukurasa unaofuatia