You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Mazingira
Mazingira yanatuzunguka kila mahala, na wanaadamu wanayategemea kuendesha maisha yao.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Mkutano wa hali ya hewa Bonn waendelea
Mkutano wa kimataifa wa watalaama wa hali ya hewa na mazingira, unaendelea hapa Bonn, huku, wanaharakati mbalimbali wa masuala ya mazingira wakijaribu kuwasilisha mapendekezo yao.
Mkutano wa hali ya hewa mjini Bonn
Wajumbe kutoka nchi 180 wanajadili mkataba badala ya Kyoto
Wafanyabiashara watakiwa kuunga mkono vita dhidi ya mabadiliko ya hali ya hewa
Jijini Copenhane Demark kunafanyika mkutano wa kimataifa wa wadau wa sekta ya biashara kujaribu kukusanya nguvu kungana mkono sera za kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa.
Mkutano wa hali ya hewa.
Marekani itashiriki katika kutayarisha mkataba mpya juu ya ulinzi wa mazingira.
Ushawishi wa Obama katika mkutano wa mazingira bonn.
Kwa kadiri gani kurejea kwa Marekani katika mjadala wa kulinda mazingira kutachangia mapatano Copenhagen ?
310309 UNFCC Klima Konferenz
Njia ya kuelekea kwenye mkutano wa Copenhagen Denmark Disemba mwaka huu
290309 klima treffen bonn
Marekani imejitolea kwa dhati kutafuta mkataba mpya wa kimataifa
Mkutano wa hali ya hewa mjini Bonn
Wajumbe elfu mbili wahudhuria mkutano wa kuhifadhi hali ya hewa
Mkutano wa kilele kuhusu hali ya hewa
Rais Barack Obama apania kupigania usafi wa mazingira
Mkutano wa kimataifa wa hali ya hewa mjini Bonn
walimwengu wakutana Bonn kuzungumzia namna ya kuhifadhi hali ya hewa
Vita vya Gaza vimeathiri mazingira
Ili kuweza kukadiria uharibifu wa mazingira uliosababishwa na operesheni za kijeshi za Israel kwenye Ukanda wa Gaza,shirika la kimataifa-UNEP- linaloshughulikia miradi ya mazingira,limeombwa kutayarisha ripoti ya kwanza.
Mkutano wa kilele wa hali ya hewa duniani huko Poland
Hakuna maendeleo yaliopatikana huko Poznan katika mkutano wa kilele wa hali ya hewa duniani
EU yajadili mkataba wa kulinda mazingira
Mkutano wa viongozi wa Umoja wa Ulaya umeingia siku yake ya pili na ya mwisho mjini Brussels nchini Ubelgiji.Viongozi hao wanajadili mikakati mbadala ya kupambana na athari za mabadiliko ya hali ya anga
Marekani kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban-Ki-moon amesema,anazingatia kuitisha mkutano wa viongozi wa kimataifa Septemba mwaka 2009 kujadili tatizo la mabadiliko ya hali ya hewa duniani.
Ushirikiano baina ya wanaharakati wa mazingira wa Ujerumani na Tanzania
Ushirikiano baina ya wanaharakati wa mazingira wa Ujerumani na Tanzania
Afrika ina fursa nuri kabisa katika mkutano wake wa hali ya hewa
Afrika ina fursa nzuri kabisa katika mazungumzo ya Umoja wa Mataifa juu ya hali hewa kuhakikisha kwamba bara hilo maskini kabisa duniani linapatiwa msaada wa kubaliana na ongezeko la kiwango cha joto duniani.
Mkutano wa Mazingira na Maji wa bonde la mto Nile
Kumefunguliwa mjini Kinshasa mkutano wa mawaziri wa mazingira na maji wa mataifa wanachama wa bonde la mto NILE.
G-8 na hali ya hewa
Azimio juu ya hali ya hewa kutoka dola 8-tajiri (G-8) na ziara ya Obama Berlin-ni mada zilizotia fora leo.
Wajumbe wa mazingira wajadiliana juu ya makubaliano ya Basel
Takataka za sumu zahatarisha maisha ya watu kwenye nchi maskini
Mabadiliko ya hali ya hewa bado ni changamoto ulimwenguni
-
Waziri S.Gabriel afungua mkutano
Mkutano wa nne wa Umoja wa Mataifa juu ya kulinda viumbe na mazingira yaliyomo katika hatari ya kutoeka umefunguliwa leo mjini Bonn na waziri wa mazingira wa Ujerumani bwana Sigmar Gabriel.
Mabadiliko ya hali ya hewa, yachangia ukosefu wa maji safi na salama.
Mkutano wa siku mbili kuhusu masuala ya Maji katika nchi wanachama wa Jumuiya ya maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika -SADC, umefunguliwa jana mjini Maseru, Lesotho.
China yakabiliwa na hali ya hewa mbaya kuwahi kutokea nchini humo
Sera ya mazingira ya Ujerumani
Ujerumani kinyume na nchi nyengine za kiviwanda ina mradi wa kuachana kabisa na vinu vya nishati ya nuklia.
Mabadiliko ya hali ya hewa yageuza mienendo ya dunia
Mabadiliko ya hali hewa yanaipundua miungano ya kimataifa
"Msiba mkubwa kwa sera za ulinzi wa hali ya hewa"
Kwa hakika, baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu kuhusu utunzaji wa hali ya hewa huko Bali, wahariri wa magazeti ya humu nchini wanatathmini matokeo yake.
Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya hewa wakamilishwa leo
Mkutano wa Mabadiliko ya Hali ya Hewa wamalizika
Katibu Mkuu UN ataka mapambano zaidi ya hali ya hewa
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ahimiza kukubali mkataba mpya wa hali ya hewa
Mkutano unasema Marekani nayo inawajibika
Walinzi mazingira waandamana
---
Mataifa yatakiwa kuchukua juhudi zaidi kupunguza gesi zinazoharibu mazingira.
Wanaharakati wafanya maandamano kusisitiza ulinzi wa mazingira.
Mkutano kuhusu mazingira wa Bali
Marekani baado yakaidi
China kupunguza gesi zinazochafua mazingira
Mkutano wa mazingira waanza.
Mkutano kuhusu hali ya hewa waanza Bali
Wajumbe zaidi ya 10,000 kutathmini kupanda kwa hali joto duniani.
Mkutano wa mazingira waanza.
Ujerumani kuifundisha dunia jinsi ya kutunza mazingira
Viongozi wa jumuiya ya madola wajadili mabadiliko ya hali ya hewa
Hali ya hewa:
VALENCIA : Onyo juu ya athari ya mabadiliko ya hali ya hewa
Ripoti: Mabadiliko ya hali ya hewa yalisababishwa na binadamu
Wiki tatu kabla ya mkutano wa kilele kuhusu ulinzi wa hali ya hewa utakaofanyika kisiwani Bali, Indonesia kuanzia tarehe 3 Disemba, wajumbe wa baraza la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya hali ya hewa walikubaliana juu ya ripoti inayokusanya yale yaliyoandikwa katika ripoti nyingine tatu zilizotolewa awali. Hati hiyo ambayo inatajariwa kupitishwa kesho inatoa msingi wa sera za hali ya hewa kwa miaka ijayo na hivyo kuwa msingi wa mazungumzo ya Bali.
VALENCIA: Mabadiliko ya hali ya hewa yaathiri zaidi nchi masikini
VALENCIA : Kupuuza hali ya hewa ni kutenda uhalifu
VALENCIA : Wanasayansi waandaa repoti ya hali ya hewa
Mabadiliko ya hali ya hewa yanaathiri mimea
Hali ya hewa inabadilika na hata nchini Ujerumani wataalamu wana hakika kutatokea hali mbaya ya hewa. Taasisi moja ya hapa Ujerumani inajaribu kuvumbua mimea itakayoweza kukabiliana na mabadiliko hayo ya hali ya hewa.
Shirika la UNEP latoa taarifa kuhusu hali ya mazingira duniani
Shirika la mazingira la umoja wa mataifa UNEP, leo limetoa taarifa yake ya kila baada ya miaka 20 kuhusu hali ya mazingira duniani kote.
BERLIN:Al Gore ataka mkutano ufanyike kujadili hali ya hewa
LOS ANGELES: Mabadiliko ya hali ya hewa ni changamoto kubwa
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 19 wa 22
Ukurasa unaofuatia