You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Mazingira
Mazingira yanatuzunguka kila mahala, na wanaadamu wanayategemea kuendesha maisha yao.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Oxfam: Matajiri wachache wanachafua mazingira
Oxfam: Matajiri wachache wanaathiri masikini kwa uchafuzi wa hali ya hewa
Mpango wa Kazi Mtaani nchini Kenya kunadhifisha miji
Idadi kubwa ya watu barani Afrika, imechangia uchafuzi wa Mazingira kutokana na utupaji wa taka kiholela mijini na hata vijiijini. Lakini nchini Kenya, yapo matumaini kuwa hali hiyo itabadilika. Hii ni kutokana na hatua ya serikali ya Kenya kutangaza mpango uitwao KAZI MTAANI, wa ajira kwa vijana kunadhifisha mazingira ya miji. Mengi zaidi na Michael Kwena kwenye makala ya Mtu na Mazingira.
Afungwa miaka 11 kwa kumuua sokwe Uganda
Sokwe huyo aliyeitwa Rafiki na aliyekuwa kiongozi, alitoweka na siku tatu baadaye mzoga wake ulipatikana.
Mazingira ya siasa yabuni nafasi za ajira Tanzania
Wanamitindo, wabunifu na washonaji nguo ni miongoni tu mwa wale wanaonufaika kutokana na mazingira ya siasa nchini Tanzania kwa kushona sare za kisiasa. Kwenye Kurunzi, Ahmad Juma anaangazia juhudi za washonaji nguo na namna ambavyo soko la bidhaa zao limetanuka kutokana na mazingira ya siasa.
Juni 26: Miaka 75 ya Umoja wa Mataifa
Na leo hii wazo lao hilo linakabiliwa na mzigo mkubwa wa majaribu, hususan kutoka kwa rais wa Marekani Donald Trump.
Ufugaji vipepeo Tanzania
Zaidi ya kaya kumi zimeachana na ukataji miti na kilimo hatarishi kwa mazingiara na kuingia katika ufugaji wa vipepeo na kusafirisha nje ya nchi ambako soko lipo kwa wingi
Ethiopia yadhamiria kupanda idadi kubwa ya miti
Waziri Mkuu Abiy Ahmed bado amedhamiria kufikia lengo la mwaka huu la kupanda miti bilioni 5.
Tanzania: Kitisho cha maambukizi Ilala kutokana na uchafuzi wa mazingira
Wakaazi wa mtaa wa Mji Mpya wilaya ya Ilala nchini Tanzania wameelezea wasiwasi wao wa uwezekano wa kuambukizwa maradhi mbalimbali kutokana na maji taka kutapakaa katika mtaa wao. Wanataka hatua zichukuliwe ili kuwaepusha na tatizo hilo. Ahmad Juma anasimulia zaidi.
UN yazindua mkakati mpya wa tabianchi
Mpango huo mpya unanuwia kufanikisha lengo la kukomesha utoaji wa gesi ya ukaa kufikia 2050.
Jinsi ya kuzuia tembo kwenye mazingira
Kumekuwa na ripoti za mashamba ya watu Afrika Mashariki kuvamiwa na tembo. Lakini kuna mbinu mbalimbali za kuwazuia.
Upandaji wa miti ya mpwani ya Kenya
Miti ya kiasili imekuwa ikipundua kutokana na kukatwa mbao kwa ajili ya ujenzi. Asilimia 80 ya chakula inatokana na miti hivyo kuna haja ya watu kuifahamu miti hiyo ya kiasili na kupanda japo mmoja. Ungana na Faiz Musa kutoka Mombasa, Kenya kuelewa zaidi.
Kitisho kinachoukabili Mto wa Mbu
Mto wa Mbu unategemewa kwa asilimia zaidi ya 80 ya shughuli zote za uchumi za wakazi wa mji huo uliopo Arusha kaskazini mwa Tanzania lakini kwa sasa uhai wa mto huo upo mashakani. Makala hii ya Mtu na Mazingira inaangazia sababu hasa zinazofanya mto huo kuwa hatarini. Ungana na Anuary Mkama kujua mengi zaidi.
Corona: Mazingira ya wandishi wa habari hatarini
Baadhi ya wandishi wa habari wamepoteza ajira, kupunguziwa mishahara na wengine kuandamwa na vyombo vya usalama
Ujerumani kuifanyia mageuzi sera ya misaada ya maendeleo
Burundi ni moja kati ya nchi zitakazoondolewa kwenye orodha ya nchi zinazopewa misaada na Ujerumani.
Mazingira ya kazi kwa wanaharakati Tanzania ni magumu, HRW
Miongoni mwa wanaharakati walifunguliwa kesi za kimkakati pamoja na vitendo 71 vya uvunjifu wa haki zao.
COVID-19 ni kitisho kwa waliopoteza makaazi
Mamilioni ya watu waliolazimika kuyahama makaazi sasa wanakabiliwa na hatari ya kuzongwa na janga la virusi vya corona.
Viongozi wataka kuwe na utaratibu mkali kuyalinda mazingira
Kuwepo mwanzo mpya wa kulinda mazingira baina ya jamii na taasisi baada ya janga la virusi vya Corona duniani.
Wanaharakati wa mazingira waitwisha DR Congo mzigo wa lawama
Mikataba hiyo inayohusisha karibu kilomita za mraba 20,000 imetolewa kwa kampuni mbili za China.
Wangari Maathai: Mwanaharakati asiye ogopa
Kupitia vuguvugu lake Ukanda wa Kijani, Wangari Maathai alisifiwa sana kwa kujenga jamii yenye amani na iliyo endelevu.
Wangari Maathai: Mwanaharakati asiye ogopa
Kupitia vuguvugu lake Ukanda wa Kijani, Wangari Maathai alisifiwa sana kwa kujenga jamii yenye Amani na iliyo endelevu.
Iran: Wanaharakati wa Mazingira wafungwa jela
Ujerumani na Iran zabadilishana wafungwa
Mtoto mmoja kati ya sita wanaishi katika mazingira ya vita
Ripoti ya Save the Children inaonyesha kuwa wavulana wadogo husajiliwa kama majeshi
Davos: Kongamano la uchumi wa dunia lamalizika
Waandaaji wasema walilipanga kujadili hatua za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.
Hali mbaya ya hewa yauwa watu 160 Pakistan na Afghanistan
Waokozi na wanajeshi wanatumia helikopta katika shughuli hizo kwa sababu barabara hazipitiki
Maporomoko ya theluji yaua mamia Kashmir
Mamlaka zinapambana kuwafikia watu waliokwama kwenye maporomoko makubwa ya theluji baada ya barabara kuharibika.
Kenya yasema mikakati ipo kukabiliana na nzige wa jangwani
Waziri wa kilimo Mwangi Kiunjuri amewataka wananchi kuwa waangalifu na kutoa taarifa kwa mamlaka kuhusu wadudu hao.
Merkel ajitolea kupambana na mabadiliko ya tabianchi
Kansela Merkel ameahidi kuwa jitihada zote za kibinaadamu zitatumika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.
UNICEF: unyanyasaji dhidi ya watoto umeongezeka
Watoto wanapitia madhila kama vile utumwa na kufanyishwa biashara ya ngono.
Hatua zaa kupambana na mabadiliko ya tabianchi Ujerumani
Hatua zaa kupambana na mabadiliko ya tabianchi Ujerumani
Mkutano mrefu wa mazingira wa UN wamalizika bila makubaliano
Mkutano mrefu kabisa wa Umoja wa Mataifa kuhusu mazingira wamalizika Madrid bila makubaliano
Mkutano wa mazingira wazua mgawanyiko
Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa hali ya hewa kuendelea leo
UN - COP 25: Mazungumzo ya hali ya hewa yagonga mwamba
Mazungumzo hayo yameongezewa muda hadi Jumamosi ili kujadili zaidi athari za mabadiliko ya tabia nchi.
Mparaganyiko mkutano wa COP25
Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi, COP25 unaelekea kuhitimishwa mjini Madrid, Uhispania.
Roboti linaloweza kusafisha mazingira
Wasichana wawili wabunifu kutoka Tanzania, waunda roboti ya kusafisha mazingira baharini na maeneo ya makaazi.
EU kukomesha utoaji gesi ukaa mwaka 2050
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana kanda hiyo kukomesha utoaji wa gesi ya ukaa ifikapo mwaka 2050.
Greta Thunberg ahutubia mkutano wa COP25 mjini Madrid
Greta Thunberg ahutubia mkutano wa COP25 mjini Madrid
Wiki ya Ukweli katika Mazungumzo ya Mabadiliko ya Tabianchi
Wiki ya Ukweli katika Mazungumzo ya Mabadiliko ya Tabianchi
COP25: Wito watolewa kuhusu mabadiliko ya tabianchi Madrid.
''Wakati wa kuchukuwa hatua'' ndio kauli mbiu ya kongamano hilo la Umoja wa Mataifa la COP25
Maporomoko yaua zaidi ya watu 23 Burundi
Shughuli za uokozi zinafanyika eneo hilo ambapo watawala wanasema huenda idadi ya waliopoteza maisha ikaongezeka.
Watu milioni 50 kuhamishwa kwa mafuriko duniani
Hii ni ikiwa serikali za dunia hazitachukuwa hatua ya haraka kukabiliana na ongezeko la joto.
COP25: Joto kali kuathiri zaidi afya ya binaadamu
Shirika la Umoja wa Mataifa la afya, WHO limeonya kuhusu mabadiliko ya tabinachi yanayoweza kuathiri afya za binaadamu.
Sikiliza mahojiano ya mkutano wa mabadiliko ya tabianchi
Mamlaka ya Hali ya Hewa ya Umoja wa Mataifa ipo katika hatua ya kuweka rekodi kwamba muongo huu ndio wenye joto zaidi duniani. Ripoti iliyozinduliwa kandoni mwa mkutano wa mabadiliko ya Tabianchi mjini Madrid, COP25 inaonesha tangu miaka ya 80 joto limekuwa likiongezeka kwa kila muongo. Msikilize Dokta Richard Muyungi anayeiwakilisha Afrika katika fuko la Mabadiliko ya Tabia Nchi.
Mvua kuendelea kuipiga Kenya
Kitengo cha kupambana na majanga ya kitaifa kinaeleza kuwa watu wasiopungua 130 wamefariki kutokana na athari za mvua.
Nchi karibu 200 zinashiriki mkutano wa mazingira Madrid
Kauli za kutetea Juhudi za kulinda mazingira bado zinasikika barani Ulaya
Katibu mkuu wa UN, aonya juu ya mabadiliko ya tabia nchi
Wajumbe kutoka kiasi nchi 200 wakutana Madrid kutafuta njia za kupunguza uzalishaji wa hewa chafu inayoharibu mazingira
Umoja wa Mataifa: viwango vya gesi chafu vyaongezeka
Ripoti ya Umoja wa Mataifa wasema viwango vya keso chafu havina dalili ya kushuka huku kasi yake ikiongezeka.
Uhaba wa maji na Mazingira Mombasa
Juhudi za kampuni inayosimamia maji eneo zima la Pwani ya Kenya zimeshindwa kukidhi mahitaji ya wakaazi wa Mombasa.
Marekani yaanza rasmi mchakato kujitoa mkataba wa Mazingira
Marekani yaanza mchakato wa kujitoa kutoka makubaliano ya Paris ya Mazingira
Merkel azuru India
Lengo la ziara hiyo ya siku mbili ni kuimarisha uhusiano kati ya India na Ujerumani.
Mabadiliko ya tabianchi ni changamoto kwa amani Somalia
Mabadiliko ya tabianchi yanaongeza changamoto zinazochangia kuimarika kwa makundi ya itikadi kali.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 13 wa 22
Ukurasa unaofuatia