You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Mazingira
Mazingira yanatuzunguka kila mahala, na wanaadamu wanayategemea kuendesha maisha yao.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Mabadiliko ya tabianchi, chanzo cha mafuriko DRC
Kinshasa inakabiliwa na changamoto ya idadi kubwa ya watu kutoka maeneo mbalimbali na makazi mengi ni ya mabanda.
COP15: Bado hakujafikiwa mafanikio makubwa
Mada muhimu ni: Ufadhili wa mataifa yanayoendelea na ahadi ya kulinda asilimia 30 ya ardhi na bahari duniani kote.
COP15: Kampuni zatakiwa kutangaza madhara yao kwa mazingira
Kampuni na biashara zahimizwa kuweka wazi viwango vyao vya uharibifu na madhara kwa kwa mazingira.
Wanaharakati wataka miito yao kulinda bayoanuwai isikizwe
Mashirika yanahamasisha kuhusu haja ya kulinda bayoanuwai na yanataka miito yao isikizwe katika mkutano wa COP15.
Ujerumani na India kushirikiana kulinda mazingira
India ni taifa la pili kwa idadi ya watu ikitanguliwa na China inashika nafasi ya nne katika uzalishaji wa hewa ya ukaa.
Kutana na wanamazingira wa kesho nchini Rwanda
Ili kuongeza uhamasishaji kuhusuutunzaji mazingira Rwanda, shirika la uhifadhi wa viumbe limeanzisha mradi kwa watoto ambao ndio walinzi wa kesho wa pori katika eneo hilo. Mradi huo unawalenga wanafunzi wa shule za msingi, sekondari hadi vyuo vikuu. Vijana Mubashara inaangazia juhudi zao.
UN yaonya kuhusu vyombo vya majini kuharibu mazingira
Umoja wa mataifa watahadharisha kuwa gesi ya Carbon inayochafua mazingira inayotoka kwenye vyombo vya majini inaongezeka
Jitihada ya kuulinda mji wa Bagamoyo
Jitihada ya kuulinda mji wa Bagamoyo
COP27 - Afrika iko peke yake
Tatu Karema
Mazungumzo ya COP27 ni ukumbusho kwamba Afrika iko peke yake linapokuja suala la mabadiliko ya tabianchi.
Je Unajua namna hali ya hewa inavyoathiri afya yako?
Najua wengi mnasikia kuhusu mabadiliko ya tabianchi, lakini je, unajua ni kwa kiasi gani mabadiliko haya yanaathiri afya yako? Msikilize maatalamu wetu akizungumzia hili. #KurunziAfya
Wajumbe wa COP27 wakubaliana kuzisaidia nchi maskini
Wajumbe katika mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu mazingira wa COP27 wamekubaliana kuzisaidia nchi masikini.
Taarifa ya Habari za Asubuhi: 20.11.2022
Makubaliano ya mwisho katika Mkutano wa COP 27 bado hayajafikiwa. Jeshi la Rwanda lamuua mwanajeshi wa Kongo aliyevuka mpaka. Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak afanya ziara mjini Kiev.
COP27: Mkutano wa kilele kuhusu hali ya hewa wamalizika
Nchi za Umoja wa Ulaya zaashiria utayari wa kufikia maelewano kuhusu ufadhili kwa nchi zilizo hatarini.
Mtu na Mazingira
Katika kipindi hiki leo, tunaangazia changamoto katika msitu wa Rondo. Jiunge na Salma Mkalibala akusimulie athari ya mabadiliko ya Tabia nchi.
COP27: Guterres atoa wito wa kufikia makubaliano
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito wa kufikia makubaliano kabla ya kumalizika mkutano huo.
Juhudi za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi Mtwara
Wanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya Mtwara Ufundi wamebuni mradi wa kilimo cha Bustani Hai ambao una uwezo wa kukabiliana na uchafuzi wa hali ya hewa kinachotumia mifuko aina ya viroba vinavyozalishwa viwandani, mbolea za asili zinazotokana na mabaki ya mimea na mkojo wa sungura ili kuzuia wadudu katika kilimo hicho. #Kurunzi
Mkutano wa Mazingira COP 27 waelekea ukingoni
Mkutano huo wa Umoja wa Mataifa kuhusu mazingira, maarufu kama COP27 unafanyika nchini Misri.
COP27: Kiwango cha uzalishaji gesi chafu kiko juu kabisa
Hayo yamo kwenye ripoti ya wanasayansi wa Umoja wa Mataifa kwenye mkutano wa COP27 mjini Sharm Al Sheikh, Misri.
COP27: Nishati mbadala kusaidia hali ya hewa, usalama
Wataalamu wa mazingira wamesema vita vya Urusi nchini Ukraine vimelazimisha mzozo wa muda mfupi wa nishati ya mafuta.
COP27: Ukataji miti waongezeka Bonde la Kongo
Wataalamu wa mazingira wamesema ukataji miti katika msitu mkubwa wa Bonde la Kongo umeongezeka kwa asilimia tano 2021.
COP27: Mataifa makubwa yaunda muungano wa nishati ya upepo
Yanasema lengo ni kupunguza utegemezi wa gesi na mafuta na kukabiliana na ongezeko la joto ulimwenguni.
Mkutano wa COP27 waanza kwa onyo Misri
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema hatua zinahitajika kulinda mazingira.
Mkutano wa COP27 kufungua pazia nchini Misri
Mkutano wa kimataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi wa COP27 unaanza huko Sharm el-Sheikh nchini Misri.
Mtu na Mazingira - Athari za Mabadiliko ya Tabianchi
Makala ya Mtu na Mazingira inangazia athari za Mabadiliko ya Tabianchi. Mtayarishaji ni Bakari Ubena.
Baada ya miaka sita mkutano wa mazingira warejea Afrika
Mkutano wa kilele wa tabianchi chini ya Mwamvuli wa Umoja wa Mataifa unafanyika tena barani Afrika
Athari za mabadiliko ya tabia nchi
Wakati mataifa yote ulimwenguni yakitatizika kuzuia ongozeko la joto duniani, madhara ya mabadiliko ya tabianchi tayari yanadhihirika wazi. Ukame, mafuriko, vimbunga, mioto ya misitu vimeharibu maisha ya mamilioni ya watu na kuwaweka katika hatari zaidi ya kukabiliwa na njaa na hata matatizo ya kemkem ya kiafya. Sikiliza makala ya Mtu na Mazingira iliyoandaliwa na Bakari Ubena.
Matangazo ya Asubuhi: 17.10.2022
Idadi ya wanyama pori ulimwenguni kote yapungua kwa 69%
idadi ya wanyama pori ulimwenguni kote imepungua kwa theluthi mbili tangu mwaka 1970.
Matangazo ya Asubuhi: 09.10.2022
Miito ya ufadhili ili kudhibiti ongezeko la joto la dunia
Zaidi ya wajumbe wa nchi 50 wamekutana kabla ya mkutano wa kilele wa Umoja wa Mataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi.
Mawaziri wa Mazingiza wa nchi 50 kukutana nchini DRCongo
Nchi tajiri zinatarajiwa kukabiliana na shinikizo la kuchangia zaidi katika kupambana na ongezeko la joto duniani.
Mtu na Mazingira: Ethiopia yashuhudia Ukame na Mafuriko
Makala ya Mtu na Mazingira inaangazia hali ya ukame na mafuriko yanayohusiana na mabadiliko ya tabianchi Ethiopia.
Ripoti ya Shirika la Oxfam yasema njaa yaongezeka kwa kasi
Shirika la misaada la Oxfam limetoa wito wa kutozwa ushuru mkubwa kwa makampuni yanayochafua mazingira.
Mataifa tajiri kuipa Afrika fedha kukabiliana na tabianchi
Mkutano huo uliwaleta pamoja viongozi kutoka serikali na taasisi kujadili mbinu za kukabiliana na tabianchi Afrika
Mtu na Mazingira: Kenya na juhudi za kuongeza miti na misitu
Makala ya Mtu na Mazingira inamulika juhudi za kuiongeza idadi ya miti nchini Kenya na misitu kwa jumla.
Tamasha la kuhimiza utunzaji wa mazingira, DRC
Vijana wapewe kipaumbele katika utunzaji wa misitu ambayo ni njia ya kulinda mazingira.
Mnada wa vitalu DRC wakinzana na malengo ya hali ya hewa
Eneo hilo maarufu la msitu katika Bonde la Kongo lina jukumu muhimu katika mfumo wa hali ya hewa.
Mawimbi ya joto kali kuongezeka hadi miaka ya 2060-UN
Mawimbi ya joto kali yanatarajiwa kuwa matukio ya mara kwa mara kwa ngalau miongo minne ijayo-UN
Mkutano wa kujadili mabadiliko ya tabianchi mjini Berlin
Mabadiliko ya Tabianchi ni tatizo kubwa la kiusalama
Moto wa msituni wazusha sokomoko kusini mwa Ulaya
Ukanda wa kusini mwa Ulaya unakabiliwa na moto wa mwituni unaoharibu misitu na mashamba, ukiambatana na joto kali.
Matangazo ya asubuhi 03.07.2022
Katika matangazo haya utasikia makala za Mtu na Mazingira, yaliyotowala barani afrika kwa wiki nzima katika afrika wiki hii. Tumekuandalia pia Sura ya Ujerumani na je umeipata hiyo? Bofya hapo juu kusikiliza yote hayo.
Marufuku ya matumizi ya bidhaa za plastiki nchini India
Maelfu ya bidhaa zingine za plastiki kama chupa za maji, soda na mifuko ya chakula, haijajumuishwa kwenye katazo hilo
Madrid: Viongozi waadhimisha siku ya kupambana na ukame
Wanasiasa mbalimbali pamoja na wataalamu wa mazingira wamekutana Madrid, kujadili njia za kukabili ukame ulimwenguni.
Matangazo ya asubuhi ya DW Kiswahili: 5.06.2022
Karibu katika matangazo ya asubuhi ya DW Kiswahili
Wajumbe wa kimataifa wakutana kujadili Mazingira Stolkholm
Ulimwengu wasisitizwa kwamba hakuna muda wa kufikiria tena kuhusu nini cha kufanya juu ya kuokoa mazingira
Athari za tumbaku ni tele kwenye mazingira: ripoti ya WHO
Ripoti mpya ya shirika la Afya Duniani, WHO, imetahadharisha kwamba mbali tumbaku ina madhara makubwa pia kimazingira.
Uchafuzi wa mazingira wasababisha vifo milioni 9 duniani.
Hewa chafu kutoka kwenye malori, magari na ongezeko la asilimia 55 la viwanda tangu mwaka 2000
Mabadiliko ya hali ya hewa yasababisha dhoruba Iraq
Hii ni mara ya nane kwa dhoruba kutokea nchi hiyo tangu katikati ya mwezi Aprili
Zimbabwe kupitisha sheria mpya ya ujenzi
Ujenzi wa nyumba za kisasa itasaidia jamii za vijijini kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa yanayoleta mafuriko.
Athari za ukame kwa watoto wa Kaunti ya Turkana
Katika eneo hilo, tatizo la ukame pia ni watoto wenye utapiamlo. Takriban zaidi ya nusu ya watoto wanaoishi katika jamii za vijijini wanakabiliwa na utapiamlo mkali kulingana na mashirika ya kibinadamu. Na hiyo inatia wasiwasi mamlaka za mitaa.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 10 wa 22
Ukurasa unaofuatia