You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Mazingira
Mazingira yanatuzunguka kila mahala, na wanaadamu wanayategemea kuendesha maisha yao.
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Wanafunzi warejea shuleni katika mazingira magumu Goma
Wanafunzi warejea shuleni katika mazingira magumu Goma
Wanafunzi wamerudi shule lakini ukosefu wa usalama na hali mbaya ya kiuchumi kumewaathiri pakubwa maelfu ya wananchi.
Umoja wa Mataifa waonya athari za joto kali kwa wafanyakazi
Umoja wa Mataifa waonya athari za joto kali kwa wafanyakazi
Mashirika ya Umoja wa Mataifa yametaka hatua za haraka zichukuliwe kuwalinda wafanyakazi kote ulimwenguni.
Mvua zasimamisha shughuli za uokozi Pakistan
Mvua zasimamisha shughuli za uokozi Pakistan
Mvua kubwa hunyesha wakati wa majira ya monsuni na kusababisha uharibifu mkubwa
Msanii anayepambana na uchafuzi wa taka Kinshasa
Msanii anayepambana na uchafuzi wa taka Kinshasa
Katika wilaya ya Limete mjini Kinshasa, taka zenye sumu zimetanda barabarani na kuziba njia za maji. Nyingi huishia kwenye Mto Djili, chanzo kikuu cha maji ya kunywa jiji humo. Sasa mto huo umejaa uchafu, zikiziba barabara na kutatiza maisha ya kila siku kwa wakaazi.
Mazungumzo ya plastiki yafichua unafiki wa mataifa tajiri
Mazungumzo ya plastiki yafichua unafiki wa mataifa tajiri
Ingawa yanajitokeza kuunga mkono mkataba huo, wachambuzi wa mazingira wanasema kauli zao hazilingani na mchango wao.
Kenya yatoa mafunzo ya magari ya umeme kwa madereva wake
Kenya yatoa mafunzo ya magari ya umeme kwa madereva wake
Licha ya wamiliki wa magari binafsi Kenya kuzidi kununua magari ya umeme, bado nchi hiyo haina magari ya aina hiyo katika sekta ya usafiri wa umma. Baadhi ya wadau wamezindua mpango wa mafunzo wa magari hayo, unaolwaenga madereva wa usafiri wa umma, wakihimiza matumizi yake yana faida nyingi.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Mioto inavyoangamiza misitu Kenya – Nani wa kulaumiwa?
Nini kilichoko nyuma ya mioto hii, athari zake kwa mazingira na jamii, na njia zipi za kuzuia maangamizi zaidi?
Teknolojia ya kisasa ya kilimo cha kumwagilia maji, Kenya
Teknolojia ya kisasa inatumia nishati ya sola kusambaza maji yanayotoka mto Thiba hadi mashambani kijijini Gachuriri.
Mazingira vs. uchumi: Je, Ujerumani inapaswa kuchagua?
Wataalamu wanahofu kwamba wanasiasa wanapambanisha ulinzi wa mazingira na ukuaji wa uchumi. Hii itakuwa na athari zipi?
Rushwa yatishia hatua za kukabiliana na hali ya hewa
Rushwa inatishia juhudi za kimataifa za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.
Vijana waitisha maandamano zaidi duniani ya mazingira
Hapa Ujerumani miji kadhaa inafanya maandamano hayo ingawa kunatarajiwa idadi ndogo kulinganisha na kipindi cha nyuma.
Watetezi karibu 200 wa mazingira waliuawa 2023
Colombia kwa mara nyingine inashikilia rekodi ya kuwa nchi isiyo salama kanda ya Amerika ya Kusini kwa wanaharakati hao.
Maudhui yote (1068) kwenye mada hii