Tanzania inajiweka sawa kuingia kwenye uchaguzi Mkuu hapo baadae mwaka huu, katikati hayo upo mgawanyiko, wapo ambao wanataka mabadiliko ya katiba kabla ya kuingia kwenye mchakato huo wa kidemokrasia lakini wapo wanaona muhimu kufanyika uchaguzi kwanza.