Watu zaidi ya 20 wauawa katika mashambulizi ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza. Makamu wa Rais wa Marekani kufanya ziara Roma na Vatican. Maafisa wa usalama nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wavamia na kufanya upekuzi kwenye mali za rais wa zamani Joseph Kabila