Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amehimiza umuhimu wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuepushwa na vita vya kimaeneo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, amewasili mjini Jerusalem kukutana na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu. Mkutano wa usalama wa mjini Munich waingia siku yake ya mwisho