Afrika Kusini yasikitishwa na kufukuzwa kwa balozi wake kutoka nchini Marekani. Katibu Mkuu wa UN asema kuna ongezeko kubwa la Chuki dhidi ya Uislamu. Mashambulizi ya droni yatikisa Ukraine na Urusi usiku kucha. Kundi la G7 lataka mateka waachiliwe, misaada ipelekwe Gaza