Zaidi ya watu 300 wa jamii ya Waalawi wameuawa na vikosi vya utawala mpya wa Syria. Kundi la Wazalendo lawaua watu 35 mashariki mwa Kongo. Watu 12 wameuawa kwenye shambulio la Urusi, mashariki mwa Ukraine. Mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba yaingiwa na kiwingu