Wapalestina 25 wauawa wakati wa usambazaji wa chakula cha msaada Gaza // Urusi yasema kuporomoka kwa madaraja yake mawili yalisababishwa na 'vitendo vya kigaidi' // Na watu wawili wauawa Ufaransa na mamia kukamatwa wakati wa sherehe za ushindi wa PSG za Ligi ya Mabingwa Ulaya