Watu 22 wauwawa kwenye mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza. Urusi na Ukraine zabadilishana wafungwa wakati mashambulizi makali yakiendelea. Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ujerumani Alexander Dobrindt, kuwasilisha kwenye Baraza la Mawaziri mapendekezo ya sheria ya kuzuia familia kuungana tena ambayo itawaathiri baadhi ya wakimbizi